Jengo la aina yake la PAPU kuanza kujengwa Arusha
Umoja wa Posta Afrika (PAPU) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) vimeanza ujenzi wa jengo la kisasa la ofisi, Kumbi za mikutano na migahawa katika eneo la Philips Kata ya Sekei jijini Arusha yapipo makao makuu ya Umoja huo. Jengo hilo la kisasa na lenye muonekano wa aina yake lityakamilika ndani ya miezi 30 kuanzia sasa.
Sasa ni zamu ya ARUSHA tunapeleka Bilion 600 ARUSHA kwa wamasai tunajenga barabara nne MAGUFULI
ANGALIA ABIRIA WALIVYOFIKA MOSHI KULA SIKUKUU SASA HIVI TUNAPAKIA KRETI 15O ZA BIA
Lowassa alivyowasili mbele ya maelfu ya Watanzania Arusha
Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania na Mbunge wa sasa wa Monduli alitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania 2015 kwenye uwanja wa mpira Arusha mbele ya maelfu ya Watanzania kutoka sehemu mbalimbali.
Arusha Ilipozizima wakati Maiti za Wanafunzi Zikiwasili Hospitali ya Mount Meru
#Huzuni kubwa imetanda jijini #Arusha katika #Hospitali ya #Mount #Meru wakati miili ya wanafunzi waliopoteza maisha kwenye ajali mbaya ya gari iliyotokea #Karatu, ilipowasilishwa hospitalini hapo.
Visit Subscribe
#Ajali hiyo mbaya iliyochukua maisha ya wanafunzi 32, ilitokea asubuhi ya Mei 6, ambapo basi aina ya #Coaster, mali ya shule ya #LuckyVincent iliyoko eneo la kwa Mrombo, kutumbukia katika #Mto #Marera ulioko katika #Mlima #Rhotia, #Karatu mkoani #Arusha.
Visit Subscribe
Wanafunzi na waalimu hao walikuwa safarini kuelekea #Karatu kwenye shule ya #Tumaini #English #Medium #Junior #Schools kufanya mtihani wa kanda wa majaribio ya kujipima uwezo kabla ya kufanya mtihani wa taifa wa darasa la saba.
Visit Subscribe
Kati ya watu 32 waliopoteza maisha, wamo waalimu wawili, dereva mmoja , na wanafunzi ishirini na tisa.
Kati ya wanafunzi waliopoteza maisha yao, 10 ni wa kiume huku 18 wakiwa wasichana.
Visit Subscribe
#Maiti ziliwasilishwa kwenye #Hospitali ya #Mkoa wa #Arusha, #Mount #Meru ambapo mipango ya mazishi imeanza na itaongozwa na #Makamu wa #Rais wa #Tanzania, #Samia #Suluhu #Hassan.
Visit Subscribe
#RIP.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chaneli yetu kwa kubofya…
SAFARI ZA TRENI KATI YA TANGA NA ARUSHA KUREJEA KUANZIA APRIL 2018
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mabarawa amemuagiza mkurugenzi mkuu wa kampuni ya reli Tanzania Ndg. Masanja Kadogosa kuhakikisha ukarabati wa njia ya reli kati ya Tanga na Arusha unakamilika mwezi April mwaka 2018 na kuanza kwa safari za treni mara moja. Tayari kipande cha njia ya reli kati ya Korogwe na Mombo chenye urefu wa KM 46 tayari umekamilika. Ukarabati huo unatarajiwa kugharimu takribani Shilingi Bilioni 14.
Arusha Ilivyozizima Miili ya Wanafunzi Waliokufa kwa Ajali Ikiagwa
#Miili ya Wanafunzi wa #Lucky #Vincent waliokufa kwa #Ajali iliyotokea #Karatu, wameagwa kwenye #Uwanja wa Sheikh Amri Abeid na kusababisha watu waliofurika uwanjani hapo, kugubikwa na huzuni.
Visit Subscribe
#Ajali hiyo mbaya iliyochukua maisha ya wanafunzi 32, ilitokea asubuhi ya Mei 6, ambapo basi aina ya #Coaster, mali ya shule ya #LuckyVincent iliyoko eneo la kwa Mrombo, kutumbukia katika #Mto #Marera ulioko katika #Mlima #Rhotia, #Karatu mkoani #Arusha.
Visit Subscribe
Wanafunzi na waalimu hao walikuwa safarini kuelekea #Karatu kwenye shule ya #Tumaini #English #Medium #Junior #Schools kufanya mtihani wa kanda wa majaribio ya kujipima uwezo kabla ya kufanya mtihani wa taifa wa darasa la saba.
Visit Subscribe
Kati ya watu 32 waliopoteza maisha, wamo waalimu wawili, dereva mmoja , na wanafunzi ishirini na tisa.
Kati ya wanafunzi waliopoteza maisha yao, 10 ni wa kiume huku 18 wakiwa wasichana.
Visit Subscribe
#Maiti zimeagwa katika #Uwanja wa #Sheikh Amri Abeid Karume #Mkoani #Arusha na kuongozwa na #Rais wa #Tanzania, #Samia #Suluhu #Hassan.
Visit Subscribe
#RIP.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chaneli yetu kwa kubofya…
ALIYEKUWA KIWETE APONYWA - Levina's Healing Miracle (English Voiceover)
Zamzam Yahya ambaye kwa sasa ni Levina, Alikuja Ngurumo Ya Upako - (Makao Makuu) Arusha Tanzania, Akiwa kiwete na mwenye vifungo vya mapepo. Baada ya Nabii Mkuu Tanzania kumtamkia Neno la Kinabii lenye Mamlaka ya Uponyaji akafungukuliwa na kupona kabisa! Sifa na Utukufu Kwa Yesu Kristo!
KIMENUKA: Mwenyekiti huyu 'Daudi Safari' Aeleza A-Z Jinsi Watoto alivyotekwa Arusha
HABARI KUU: Mbunge wa Arusha mjini na Waziri kivuli wa Mambo ya ndani Godbless Lema amelaani vikali kitendo cha utekaji wa watoto kinachoendelea katika baadhi ya maeneo Jijini Arusha
Msomaji wetu Leo taarifa nyingine kubwa ni kuhusu watoto waliotekwa jijini Arusha .
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema Ametoa kauli baada ya utekaji huo
Video ya VOA TV Hii hapa.
Watoto waliotekwa mpaka sasa:
1. Maureen David (6yrs), anaishi Mtaa wa Olkereyan kata ya Olasiti.
2. Ikram Salim (3yrs), anaishi Mtaa wa Burka kata ya Olasiti.
3. Ayubu Fred (3.8yrs), anaishi Mtaa wa FFU kata ya Muriet
4. Bakari Selemani (3.6yrs), anaishi Mtaa wa FFU kata ya Muriet
Kwa taarifa za kimtandao mtekaji anaonekana yupo maeneo ya Olasiti buga ya chumvi
VOA TV Ilifika katika Kituo kikuu cha polisi Arusha (Central Police) Kuthibitisaha iwapo kama Jeshi hilo limechukua hatua zipi baada ya tukio hilo la utekaji Wa Watoto hatimaye hakukua na mafanikio yoyote kwakua RPC Hakuepo ofisini kake.
TRENI KWENDA ARUSHA NA MOSHI/ MWANZA MASAA SABA/INTERNET BURE
RTO Apiga 'STOP' GARI Kuendelea Na SAFARI, Ashusha ABIRIA Wote ALILALAMIKIA RUSHWA
RTO Apiga 'STOP' GARI Kuendelea Na SAFARI, Ashusha ABIRIA Wote ALILALAMIKIA RUSHWA
Kamanda wa usalama barabarani Mkoa wa Arusha leo alfajiri Akiwa na askari wengine wa usalama barabarani wamefanya ukaguzi wa mabasi yaendayo nje ya mkoa wa Arusha na kulikamata Basi la Kimotiko linalofanya safari zake Arusha, Babati, kutokana na kupandisha abiria wengi kupita kiasi....
#BasiLaKimotco
Watch More Videos here: Watch More Videos here: Website: globalpublishers.co.tz FaceBook:
facebook.com/globalpublishers Instagram: instagram.com/globalpublishers Twitter: twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: Install Global App: iOS:
Huu ndio uwanja wa michezo Arusha wa kisasa utakao tikisa bongo
#ARUSHA
#TANZANIA
#TFF
#BASATA
ARUSHA ADVENTURES
In this episode, I share my recent adventures in Arusha, Tanzania . I was genuinely surprised at how close the destination is and the familiarity of the Jacaranda trees. Questions on any of the destinations will be answered. Love & Light.
-- FIND ME --
Instagram -
Snapchat - @chacheeta
Special thanks to Mcwest & Fam.
ARUSHA KUMENOGA SASA GSM WAMEFUNGUA DUKA LAO, BEI CHEE, VITU VIZURI
ARUSHA|TANZANIA???????? VLOG
Hey guys! I took a trip to Arusha with my brother and his schoolmates and it was a really fun experience meeting all these incredible people and their incredible lifestyle.lol. These lot were literally lit for five days straight!! I hope you get to experience the fun we had through this and don't forget to subscribe to my channel and check out my blog as well.
#UFUFUAJI WA RELI KUTOKA MOSHI HADI ARUSHA WAFIKIA ZAIDI YA 90%,TRENI ITATOKA DAR HADI ARUSHA.
Safari ya Wanafunzi walionusurika kwenye ajali ya Basi la Shule huko Arusha kwenda kutibiwa MAREKANI
Kimbunga Kikali Jijini Arusha Chazua Balaa!!
Masaa machache kumetokea kimbunga kikali kilichosababisha kusimama shughul za kiuchumi ikiwamo safar za anga Kwa muda kikubwa tunashukuru hakuna ripot yeyote ya maafa kutokea..
MUNGU IBARIKI TANZANIA, IBARIKI AFRICA
#sngrafxbreakingnews #kimbungajijiniarusha
UTALII WA NDANI - ARUSHA:WYOMMY 3 PLN HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE
Safari yaTarangire 2014. By CASSIUS MDAMI
Hali Ilivyo Sasa kwa Wanafunzi Walionusurika na Ajali Arusha
Hali ya Wanafunzi Walionusulika na Ajali Arusha Ikoje?
ARUSHA: TAARIFA rasmi kutoka chumba cha Mganga Mkuuwa Hospitali ya Rufaa ya Mt. Meru, Arusha, zimeeleza kuwa hali ya watoto watatu ambao ni wanafunzi wa Lucky Vincent Nursery & Primary School walionusurika kwenye ajali ya Jumamosi iliyopita Karatu, wanaendelea vizuri mpaka sasa.
SUBSCRIBE:
WEBSITE:
FACEBOOK:
TWITTER:
INSTAGRAM: